Sunday, April 29, 2012

AJALI YA COAST LINE

Ajali ya basi la kampuni ya Coast Line linalofanya safari yake kutoka arusaha kupitia Simanjiro,Kitento hadi Dodoma jana katika kijiji cha Terrat wilayani simanjiro mkoani manyaara.baada ya kugoga mti ulioko kando ya barabara

 by Jackson Mollel o.r.s fm

No comments:

Post a Comment